IDDY ALLUTE
HABARI, PICHA NA MATANGAZO.....(MAWASILIANO 0766 489048)
Wednesday, July 17, 2013
Mbio za mwenge zilivyofana mkoani Kigoma, 2013
TAKUKURU walishiriki kwa kuonesha kazi zao na kutoa elimu kwa hadhira iliyohudhuria
Jeshi la Polisi nalo lilitoa elimu kupitia mkakati wa Polisi Jamii na Utii wa Sheria bila Shuruti. Pia dawati la Jinsia la Jeshi hilo pia lilikuwepo
Mkuu wa wilaya ya Kigoma Ramadhani Maneno (mwenye tracksuit) katika picha ya pamoja na wakimbiza mwenge Kitaifa
Ujirani mwema: Kikundi cha burudani kutoka Burundi kilinogesha mbio hizo za mwenge
Soko katika kijiji cha Bitale ni moja ya miradi iliyozinduliwa na mwenge mwaka huu
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment