IDDY ALLUTE
HABARI, PICHA NA MATANGAZO.....(MAWASILIANO 0766 489048)
Tuesday, September 3, 2013
Sherehe za ufunguzi wa ofisi ya TAKUKURU wilaya ya Kasulu zilivyofana
Muonekano wa jengo la kisasa kabisa la Ofisi za TAKUKURU wilaya ya Kasulu
Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Dk Edward Hoseah akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili katika ofisi za TAKUKURU kwa ajili ya ufunguzi
Dk Hoseah akikata utepe katika kufungua jengo hili
Picha ya pamoja kati ya Mkurugenzi Mkuu Dk Hoseah(katikati) na wajumbe wa kamati ya Ulinzi na Usalama wilaya ya Kasulu
Sasa umekuwa chifu wa kabila la waha
Kaimu Kamanda wa TAKUKURU wilaya ya Kasulu Bw Onesmo Mdegera akisoma risala mbele ya mgeni rasmi
Wasanii wa kikundi cha KOTAG cha wilayani Kasulu wakitumbuiza wakati wa sherehe hizo
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment