IDDY ALLUTE

HABARI, PICHA NA MATANGAZO.....(MAWASILIANO 0766 489048)


Wednesday, June 19, 2013

Ajira ya watoto katika Manispaa ya Kigoma/Ujiji

Zikiwa zimepita siku tatu tu baada ya maadhimisho ya siku ya watoto Afrika, watoto hawa wamekutwa na kamera yetu jirani na baa ya Website katika mtaa wa Mjimwema Manispaa ya Kigoma/Ujiji wakiokota na kukusanya bidhaa za vyuma chakavu kwa ajili ya kuviuza. Siku ya mtoto wa Afrika huadhimishwa tarehe 16.06 kila mwaka
Posted by Unknown at 8:31 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

SIKILIZA REDIO ZA BONGO HAPA

FREE ONLINE STREAMING RADIO
Listen to Bongo Radio
Bongo Radio
Listen to Radio Mbao - Columbus, TX
Radio Mbao
Listen to Radio One 89.5 - FM 89.5 - Dar es Salaam
Radio One 89.5

Grab widget | Radio stations
Free Live Radio Stations
FREE LIVE RADIO ONLINE
Listen to Kaya FM - FM 95.9 - Johannesburg
Kaya FM
Listen to SoukousRadio - Tampa, FL
SoukousRadio
Listen to Sud FM - FM 98.5 - Dakar
Sud FM

Grab radio widget | More radio
Free Live Radio Stations
-->

MWANAHARAKATI KUTOKA KIGOMA

Unknown
View my complete profile

Popular Posts

  • Rais Kikwete azindua Jengo la Kitivo cha Sayansi Chuo Kikuu cha Waislam Morogoro(MUM))
    Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifunua pazia kuzindua rasmi jengo la Kitivo cha Sayansi la Chuo Kikuu cha Kiislamu Morogoro leo Machi 14, 201...
  • Ni Mjasiriamali...!
  • Chuo cha Ualimu Kasulu kinachangamoto kubwa ya ufundishaji somo la IT
    CHUO cha Ualimu Kasulu mkoani Kigoma kinakabiliwa na changamoto kubwa ya ufundishaji wa somo la teknolojia ya habari na mawasiliano (IT), k...

HABARI ZILIZO PITA

TAFUTA

WATAZAMAJI WA BLOG HII MPAKA SASA

Blog mbalimbali

  • MICHUZI
    CMSA yaipongeza Sanlam Allianz - Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) imeipongeza Sanlam Allianz kwa kuanzisha Mfuko mpya wa 'USD Fixed Income Fund' utakaowaweze...
    30 minutes ago
  • BBCSwahili.com | Mwanzo
    Fahamu kwanini hotuba ya Mfalme iliwatia wasiwasi raia wa kigeni Afrika Kusini - Mfalme wa Zulu Afrika Kusini, amezua gumzo baada ya kutoa matamshi ya kuwadhalilisha raia wa kigeni, na kuwataka waondoke nchini humo.
    6 hours ago
  • Sports Lady
    STSRS,ZAMBIA ZAGAWANA POINTI AFCON - TIMU ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' leo imelazimisha sare ya bao 1-1 dhidi ya Zambia katika mchezo wa Kundi F kwenye michuano ya Kombe la Mataif...
    2 years ago
  • Wavuti - Habari
    -
  • Mjengwa Blog::Habari,Picha,Matangazo
    -
Iddyalute 2012. Simple theme. Powered by Blogger.