IDDY ALLUTE

HABARI, PICHA NA MATANGAZO.....(MAWASILIANO 0766 489048)


Wednesday, June 19, 2013

Ajira ya watoto katika Manispaa ya Kigoma/Ujiji

Zikiwa zimepita siku tatu tu baada ya maadhimisho ya siku ya watoto Afrika, watoto hawa wamekutwa na kamera yetu jirani na baa ya Website katika mtaa wa Mjimwema Manispaa ya Kigoma/Ujiji wakiokota na kukusanya bidhaa za vyuma chakavu kwa ajili ya kuviuza. Siku ya mtoto wa Afrika huadhimishwa tarehe 16.06 kila mwaka
Posted by Unknown at 8:31 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

SIKILIZA REDIO ZA BONGO HAPA

FREE ONLINE STREAMING RADIO
Listen to Bongo Radio
Bongo Radio
Listen to Radio Mbao - Columbus, TX
Radio Mbao
Listen to Radio One 89.5 - FM 89.5 - Dar es Salaam
Radio One 89.5

Grab widget | Radio stations
Free Live Radio Stations
FREE LIVE RADIO ONLINE
Listen to Kaya FM - FM 95.9 - Johannesburg
Kaya FM
Listen to SoukousRadio - Tampa, FL
SoukousRadio
Listen to Sud FM - FM 98.5 - Dakar
Sud FM

Grab radio widget | More radio
Free Live Radio Stations
-->

MWANAHARAKATI KUTOKA KIGOMA

Unknown
View my complete profile

Popular Posts

  • Timu ya Ashanti ya Dar mazoezini Kigoma
  • Assad apinga mazungumzo na "vibaraka"
    Rais Bashar al-Assad wa Syria amefuta uwezekano wa mazungumzo na makundi ya upinzani ambayo ameyaita kuwa "vibaraka" wa mataifa...
  • JK. Atembelea Makanisa Yaliyoharibiwa Katika Vurugu Za Waislamu Mbagala
    Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia uharibifu mkubwa ulkiofanywa katika kanisa la Pentekoste la Mbagala jijini Dar es salaam wakati w...

HABARI ZILIZO PITA

TAFUTA

WATAZAMAJI WA BLOG HII MPAKA SASA

Blog mbalimbali

  • BBCSwahili.com | Mwanzo
    Trump asema ameshangazwa na Wairani kulia katika mazishi ya Khamenei - Katika sehemu nyingine ya mahojiano hayo, Trump ameiambia Axios kwamba pande zote mbili zimekubaliana kusitisha mazungumzo kwa muda wa wiki moja hadi shugh...
    1 hour ago
  • MICHUZI
    DKT.NCHIMBI ASHIRIKI KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA CCM MKOANI DODOMA - Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa (CCM) ambaye ni mlezi wa CCM Mkoa wa Dodoma, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano ...
    16 hours ago
  • Sports Lady
    STSRS,ZAMBIA ZAGAWANA POINTI AFCON - TIMU ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' leo imelazimisha sare ya bao 1-1 dhidi ya Zambia katika mchezo wa Kundi F kwenye michuano ya Kombe la Mataif...
    2 years ago
  • Wavuti - Habari
    -
  • Mjengwa Blog::Habari,Picha,Matangazo
    -
Iddyalute 2012. Simple theme. Powered by Blogger.