IDDY ALLUTE

HABARI, PICHA NA MATANGAZO.....(MAWASILIANO 0766 489048)


Wednesday, June 19, 2013

Tembelea Kaole Bagamoyo uone mengi

Watalii wa ndani wakitazama Qibla ya msikiti wa kwanza katika ukanda wa Afrika ya mashariki na KatiHili ndilo kaburi la wapendanaoHiki ni kisima cha ajabu. Maji yake hayapungui wala kuongezeka miaka nenda miaka rudi. Inasadikiwa kuwa yeyote anayekunywa maji haya au atakayenawa kwa kutumia maji ya kisima hiki, anapata baraka na huwa amejiepusha na nuksi mbalimbali katika maisha yakeMti huu wa mbuyu ulikuwepo tangu karne ya 15. Karne ya 15 ni miaka 600 iliyopita

Shukrani kwa mdau wa blog hii Mr Ngoma kwa kutupatia picha na maelezo
Posted by Unknown at 7:32 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

SIKILIZA REDIO ZA BONGO HAPA

FREE ONLINE STREAMING RADIO
Listen to Bongo Radio
Bongo Radio
Listen to Radio Mbao - Columbus, TX
Radio Mbao
Listen to Radio One 89.5 - FM 89.5 - Dar es Salaam
Radio One 89.5

Grab widget | Radio stations
Free Live Radio Stations
FREE LIVE RADIO ONLINE
Listen to Kaya FM - FM 95.9 - Johannesburg
Kaya FM
Listen to SoukousRadio - Tampa, FL
SoukousRadio
Listen to Sud FM - FM 98.5 - Dakar
Sud FM

Grab radio widget | More radio
Free Live Radio Stations
-->

MWANAHARAKATI KUTOKA KIGOMA

Unknown
View my complete profile

Popular Posts

  • Rais Kikwete azindua Jengo la Kitivo cha Sayansi Chuo Kikuu cha Waislam Morogoro(MUM))
    Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifunua pazia kuzindua rasmi jengo la Kitivo cha Sayansi la Chuo Kikuu cha Kiislamu Morogoro leo Machi 14, 201...
  • Ni Mjasiriamali...!
  • Chuo cha Ualimu Kasulu kinachangamoto kubwa ya ufundishaji somo la IT
    CHUO cha Ualimu Kasulu mkoani Kigoma kinakabiliwa na changamoto kubwa ya ufundishaji wa somo la teknolojia ya habari na mawasiliano (IT), k...

HABARI ZILIZO PITA

TAFUTA

WATAZAMAJI WA BLOG HII MPAKA SASA

Blog mbalimbali

  • MICHUZI
    Rais Samia afungua Soko Kuu Jipya la Kariakoo, Ilala Jijini Dar es Salaam - Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Soko Kuu jipya la Kariakoo, Ilala Jijini Dar e...
    3 hours ago
  • BBCSwahili.com | Mwanzo
    Fahamu kwanini hotuba ya Mfalme iliwatia wasiwasi raia wa kigeni Afrika Kusini - Mfalme wa Zulu Afrika Kusini, amezua gumzo baada ya kutoa matamshi ya kuwadhalilisha raia wa kigeni, na kuwataka waondoke nchini humo.
    4 hours ago
  • Sports Lady
    STSRS,ZAMBIA ZAGAWANA POINTI AFCON - TIMU ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' leo imelazimisha sare ya bao 1-1 dhidi ya Zambia katika mchezo wa Kundi F kwenye michuano ya Kombe la Mataif...
    2 years ago
  • Wavuti - Habari
    -
  • Mjengwa Blog::Habari,Picha,Matangazo
    -
Iddyalute 2012. Simple theme. Powered by Blogger.