IDDY ALLUTE

HABARI, PICHA NA MATANGAZO.....(MAWASILIANO 0766 489048)


Wednesday, June 19, 2013

Tembelea Kaole Bagamoyo uone mengi

Watalii wa ndani wakitazama Qibla ya msikiti wa kwanza katika ukanda wa Afrika ya mashariki na KatiHili ndilo kaburi la wapendanaoHiki ni kisima cha ajabu. Maji yake hayapungui wala kuongezeka miaka nenda miaka rudi. Inasadikiwa kuwa yeyote anayekunywa maji haya au atakayenawa kwa kutumia maji ya kisima hiki, anapata baraka na huwa amejiepusha na nuksi mbalimbali katika maisha yakeMti huu wa mbuyu ulikuwepo tangu karne ya 15. Karne ya 15 ni miaka 600 iliyopita

Shukrani kwa mdau wa blog hii Mr Ngoma kwa kutupatia picha na maelezo
Posted by Unknown at 7:32 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

SIKILIZA REDIO ZA BONGO HAPA

FREE ONLINE STREAMING RADIO
Listen to Bongo Radio
Bongo Radio
Listen to Radio Mbao - Columbus, TX
Radio Mbao
Listen to Radio One 89.5 - FM 89.5 - Dar es Salaam
Radio One 89.5

Grab widget | Radio stations
Free Live Radio Stations
FREE LIVE RADIO ONLINE
Listen to Kaya FM - FM 95.9 - Johannesburg
Kaya FM
Listen to SoukousRadio - Tampa, FL
SoukousRadio
Listen to Sud FM - FM 98.5 - Dakar
Sud FM

Grab radio widget | More radio
Free Live Radio Stations
-->

MWANAHARAKATI KUTOKA KIGOMA

Unknown
View my complete profile

Popular Posts

  • Kijijini Kazuramimba-Uvinza
    Wanakijiji wa kijiji cha Kazuramimba wilayani Uvinza wakifanya biashara ya vyakula mbalimbali ikiwamo miwa, nyanya, maharage na mihogo kwa...
  • Ramani ya mkataba wa Heligolandi:Ziwa Nyasa lipo Malawi
    Kwa hisani ya Mjengwablog
  • Taswira: Shule ya msingi Kigoma, mjini Kigoma

HABARI ZILIZO PITA

TAFUTA

WATAZAMAJI WA BLOG HII MPAKA SASA

Blog mbalimbali

  • MICHUZI
    SERIKALI YAPONGEZA CHUO CHA UFUNDI ARUSHA KWA UJENZI WA KARAKANA YA UZALISHAJI VIPURI - Na Seif Mangwangi, Michuzi TV, Arusha SERIKALI imeipongeza Menejimenti na uongozi wa chuo cha ufundi Arusha (ATC), kutokana na bunifu mbalimbali zinazoende...
    3 hours ago
  • BBCSwahili.com | Mwanzo
    Mashambulizi ya Wahouthi yazua hofu ya mzozo mpana zaidi Mashariki ya Kati na uharibifu wa uchumi duniani - Wapiganaji wa kundi la Houthi nchini Yemen wanadai kushambulia meli katika Bahari ya Shamu—hatua inayotishia kuzidisha hali tete tayari iliyopo Mashariki y...
    1 day ago
  • Sports Lady
    STSRS,ZAMBIA ZAGAWANA POINTI AFCON - TIMU ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' leo imelazimisha sare ya bao 1-1 dhidi ya Zambia katika mchezo wa Kundi F kwenye michuano ya Kombe la Mataif...
    2 years ago
  • Wavuti - Habari
    -
  • Mjengwa Blog::Habari,Picha,Matangazo
    -
Iddyalute 2012. Simple theme. Powered by Blogger.