Sunday, March 16, 2014

Kigoma-Katavi: Usafiri wa mateso

Basi pekee linalofanya safari kati ya Kigoma na Mkoa wa Katavi kutoka katika kampuni ya Adventure Connection likiwa limenasa katika tope kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha. Hapa ni katika eneo la Mishamo mkoani Katavi

No comments: