Saturday, October 13, 2012

JK. Atembelea Makanisa Yaliyoharibiwa Katika Vurugu Za Waislamu Mbagala

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia uharibifu mkubwa ulkiofanywa katika kanisa la Pentekoste la Mbagala jijini Dar es salaam wakati wa vurugu za Waislamu Ijumaa iliyopita kufuatia habari kuwa kuna mtoto amekojolea Msahafu
PICHA NA MUHIDIN MICHUZI

No comments: