Tuesday, December 4, 2012

Urais Kenya-Raila aungana na Kalonzo

Waziri Mkuu wa Kenya Raila Odinga, kupitia chama chake ODM wametia saini makubaliano ya kuunda muungano wa kisiasa na Makamo wa Rais Kalonzo Musyoka ikiwa ni maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa taifa hilo wa Machi mwakani 
 dw

No comments: