Monday, July 15, 2013

Breaking News: Majambazi yateka Biharamulo

Habari zilizoifikia blog hii hivi punde zinaeleza kuwa majambazi yapatayo manane yakiwa na bunduki aina ya SMG yameteka magari katika pori la Kasindaga lililopo wilayani Biharamulo.

Mabasi yaliyotekwa ni NBS, RS na Mohamed Trans yaliyokuwa yakielekea Dar na Arusha.

Aidha vitu mbalimbali vimeporwa vikiwemo Simu na fedha taslimu.

No comments: