Thursday, October 18, 2012

CP Mussa Alli Mussa aongea na waandishi Zanzibar


Kamishna wa Polisi Mussa Ali Mussa akifafanua jambo katika Mkutano na Waandishi wa Habari akielezea juu ya Fujo na Ghasia zilizotokea katika Mkoa wa Mjini Magharibi na kupelekea kifo cha Askari Mmoja,Mkutano huo umefanyika hapo katika Makao Makuu ya Polisi Ziwani Mjini Zanzibar.
Mwandishi wa Habari wa Hits FM Mustafa akiuliza maswali katika Mkutano wa Jeshi la Polisi juu ya fujo na ghasia zilizotokea katika Mkoa wa Mjini Magharibi,hapo katika Makao Makuu ya Polisi Ziwani Mjini Zanzibar. 

 PICHA NA MAKAME MSHENGA-MAELEZO ZANZIBAR

No comments: