IDDY ALLUTE

HABARI, PICHA NA MATANGAZO.....(MAWASILIANO 0766 489048)


Wednesday, June 19, 2013

Tembelea Kaole Bagamoyo uone mengi

Watalii wa ndani wakitazama Qibla ya msikiti wa kwanza katika ukanda wa Afrika ya mashariki na KatiHili ndilo kaburi la wapendanaoHiki ni kisima cha ajabu. Maji yake hayapungui wala kuongezeka miaka nenda miaka rudi. Inasadikiwa kuwa yeyote anayekunywa maji haya au atakayenawa kwa kutumia maji ya kisima hiki, anapata baraka na huwa amejiepusha na nuksi mbalimbali katika maisha yakeMti huu wa mbuyu ulikuwepo tangu karne ya 15. Karne ya 15 ni miaka 600 iliyopita

Shukrani kwa mdau wa blog hii Mr Ngoma kwa kutupatia picha na maelezo
Posted by Unknown at 7:32 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

SIKILIZA REDIO ZA BONGO HAPA

FREE ONLINE STREAMING RADIO
Listen to Bongo Radio
Bongo Radio
Listen to Radio Mbao - Columbus, TX
Radio Mbao
Listen to Radio One 89.5 - FM 89.5 - Dar es Salaam
Radio One 89.5

Grab widget | Radio stations
Free Live Radio Stations
FREE LIVE RADIO ONLINE
Listen to Kaya FM - FM 95.9 - Johannesburg
Kaya FM
Listen to SoukousRadio - Tampa, FL
SoukousRadio
Listen to Sud FM - FM 98.5 - Dakar
Sud FM

Grab radio widget | More radio
Free Live Radio Stations
-->

MWANAHARAKATI KUTOKA KIGOMA

Unknown
View my complete profile

Popular Posts

  • Reli ndefu kabisa duniani ya treni ya kasi yazinduliwa rasmi China
    Reli ndefu kabisa duniani ya treni ya kasi leo imezinduliwa rasmi. Reli hiyo yenye umbali wa kilomita 2298 inaunganisha mji mkuu Beijing ...
  • Tume ya Mabadiliko ya katiba yaanza kukusanya maoni katika manispaa ya Kigoma/Ujiji
    Baadhi ya Watanzania wa mkoa wa Kigoma wakiwa katika mkutano wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba
  • Vipaji na ubunifu kutoka Kijiji cha Mlela wilayani Uvinza, Kigoma
    Huu ni ubunifu wa hali ya juu. Kama wataendelezwa wanaweza kutoa mchango mkubwa sana katika Taifa hili.

HABARI ZILIZO PITA

TAFUTA

WATAZAMAJI WA BLOG HII MPAKA SASA

Blog mbalimbali

  • MICHUZI
    PROF. CAROLYNE NOMBO ARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA KAMPASI YA MZUMBE TANGA - Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo ametembelea eneo la ujenzi wa Kampasi mpya ya Chuo iliyopo Wilaya ya Mkinga mkoani...
    9 minutes ago
  • BBCSwahili.com | Mwanzo
    Wachezaji maarufu duniani waliokufa kwa ajali - Ulimwengu wa kandanda umekumbwa na ajali nyingi mbaya za magari kwa miaka mingi, zikigharimu maisha ya vipaji vinavyoinuka na wataalamu waliobobea.
    1 hour ago
  • Sports Lady
    STSRS,ZAMBIA ZAGAWANA POINTI AFCON - TIMU ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' leo imelazimisha sare ya bao 1-1 dhidi ya Zambia katika mchezo wa Kundi F kwenye michuano ya Kombe la Mataif...
    1 year ago
  • Wavuti - Habari
    -
  • Mjengwa Blog::Habari,Picha,Matangazo
    -
Iddyalute 2012. Simple theme. Powered by Blogger.